RSS

Tag Archives: VAT

Kutoka Bungeni: Serikali Kulinda Viwanda Vya Ndani

Serikali imekubali mapendekezo ya wabunge ya kuongeza kima cha chini cha mapato ya wafanyabiashara yanayotozwa kodi kutoka shilingi milioni tatu hadi milioni nne.
 
 Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa amesema, uamuzi huo wa Serikali utawawezesha wafanyabiasha wadogo wakiwemo waendesha ‘bodaboda’ kujiendeleza kibiashara.
 
Amewaeleza wabunge mjini Dodoma kuwa, Serikali pia imekubali ushauri wao wa kuongeza kodi ya mafuta ya kula kwa mafuta yanayoagizwa kutoka nje ili kulinda viwanda vya ndani.
 
Kwa mujibu wa Waziri Mgimwa, uamuzi huo wa Serikali sasa utawasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
 
“Lakini Serikali imekubali mapendekezo ya waheshimiwa wabunge” amesema. Kwa mujibu wa Waziri Mgimwa, Serikali kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa viwanda vinavyozalisha nguo kwa kutumia pamba inayolimwa nchini.
 
“Tumeikubali hiyo hoja, tunaifanyia kazi” amelieleza Bunge na kubainisha kwamba, uamuzi huo utasaidia kuongeza ajira nchini na mapato ya wananchi.
 
Amesema, Serikali inafanya uchambuzi wa suala hilo ili kuona ni wapi itafidia , na kwamba, itatoa ufafanuzi wa jambo hilo katika Muswada wa Fedha wakati wa Mkutano unaoendelea wa Bunge mjini Dodoma.
 
Wakati huo huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira amewataka wanunuzi wa pamba kutowatwisha mzigo wa kila kitu wakulima wa pamba wakati bei inaposhuka katika soko.
Amesisitiza kwamba, suala la kufufua viwanda ni la msingi na Serikali itahakikisha viwanda vya nguo vinapewa kipaumbele na kuhakikisha malighafi zinazopatikana, zinatumika hapa nchini.

Wasira ameyasema hayo wakati akifanya majumuisho ya hotuba yake ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2011/12 pamoja na Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2012/2013.

“Nisingeweza kumaliza hotuba yake bila kuzungumzia pamba, wakulima wa pamba wasingenielewa, wao ndio wanaoniweka mjini,” alisema. “Wanunuzi wa pamba wasiwatwishe wakulima mzigo wa kila kitu wakati bei inaposhuka.

Ingekuwa busara kama wanapata faida ya asilimia kumi, basi wachukue asilimia 9 au 8 na inayobaki iende kwa mkulima.

Katika michango yao, wabunge waliitaka Serikali kuhakikisha bei ya pamba inaongezeka kutoka ya sasa ya kilo kwa Sh 520 kufikia Sh 1,000.

Akizungumzia hoja za wabunge kuhusu kufufua viwanda na kuviendeleza vilivyopo, Wasira alisema hicho ni moja ya kipaumbele cha Bajeti ya 2012/13, hivyo Serikali itahakikisha inavilinda viwanda vya nchini.

“Msimamo wa Serikali uko wazi, viwanda ni mojawapo ya vipaumbele vilivyoainishwa katika bajeti hii. Kwa hiyo, tutahakikisha viwanda vyetu vinafufuliwa na vinavyofanya kazi vinaendelezwa,” alisema Wasira.

Posted by MJ

About these ads
 
Leave a comment

Posted by on June 24, 2012 in Uncategorized

 

Tags: , , , , , , , , ,

New VAT rate for Selected VAT Relieved Beneficiaries

Dodoma, Tanzania
Ministry of Finance has proposed an introduction of a new VAT rate of 10 per cent for selected VAT relieved beneficiaries.

This measure will compel all beneficiaries enjoying special relief under the third schedule of the Value Added Tax Act to pay VAT for their taxable supplies requirements at a reduced rate of 10 per cent instead of 18 per cent.
The Finance Minister, Dr Mgimwa said those who would be affected, among others, are private companies, individuals and TIC Certificate holders except those who are enjoying exemptions under the existing agreements.
 Ministry For Finance Dr. Mgimwa presenting the Budget in Dodoma
Furthermore, it will affect Non Governmental Organizations (NGOs) except those which are providing donations such as food supplies and medicaments to children and orphanage care centers and schools.
Also, Dr Mgimwa asked the house to approve, amending item 19 of the second schedule to the VAT Act in order to include “Electronic Fiscal Devices” in the list of exempt items.
“The measure intends to make the product affordable to the business community and encourage its use for the improvement of compliance,” the finance minister said.
A report dubbed one billion question: How Can Tanzania Stop Losing So Much Tax Revenue, estimates that Tanzania one of the poorest countries in the world is losing around 1 billion US dollars (1.6tr/-) in tax revenue annually mostly through tax evasion, capital flight and tax incentives.
Also, the minister wants to exempt VAT on various equipments (Compressed Natural Gas and Piped Natural Gas) that will be used for storage, transportation, and distribution of natural gas.
This measure is intended to promote the usage of natural gas in various sectors of the economy including motor vehicles, domestic and industrial use.
“The measure is also expected to preserve forests, reduce environmental degradation and encourage production of gas cookers in the country,’ Dr Mgimwa said.

Meanwhile, Minister for Finance and Economic Affairs said yesterday in a bid to implement effectively new finance bill 2012/13 all unproductive and unnecessary expenditures should be avoided.
Dr William Mgimwa said therefore it is important for the ministries, departments, regions and local authorities to give opportunities to the private sector to contribute in building the economy.
“…every citizen is called upon to participate effectively in the utilization of available opportunities by providing services and engaging in productive activities in order to increase income,” the minister told the Parliament when reading the budget.
He said this budget directs investment of national resources in few priority areas with a view to accelerate economic growth and reduction of poverty.
The minister caution follows the fact that in 2011/12 domestic revenues, including revenues from Local Authorities, were below target and donor commitment to budget basket is not delivered on time.

Data show that total collection up to this April reached 5.68tr/- equals to 80 per cent of estimates of collecting shillings 7.13tr/- for year 2011/12.

 
2 Comments

Posted by on June 16, 2012 in Uncategorized

 

Tags: , , , , , , , , , , , ,

 
Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 3,834 other followers

%d bloggers like this: