RSS

Tag Archives: South Africa

China kusaidia Afrika dola za Marekani bil. 20‏

Beijing

Bernard Membe – Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imetangaza kutoa msaada wa Dola za Marekani bilioni 20 kwa ajili ya kusaidia nchi za Afrika katika miaka mitatu ijayo.

Fedha hizo kwa mujibu wa Rais Hu Jintao, zitakwenda kusaidia maeneo ya kilimo, miundombinu, uzalishaji bidhaa na wajasiriamali wa kati na wadogo.

Rais Hu alitangaza msaada huo jana mjini hapa wakati akifungua Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC), unaofanyika kwa siku mbili.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu wanaiwakilisha Tanzania katika mkutano huu.  Baloziwa Tanzania nchini China, Philip Marmo pia alihudhuria ufunguzi huo.

Rais Hu alisema China itaendelea kuongeza misaada yake kwa Afrika ili kuleta maendeleo kwa watu wa Afrika. “China itajenga vituo vingi vya kisasa vya mfano vya teknolojia ya kilimo ili kuisaidia Afrika katika kuongeza uzalishaji wa chakula.

“China itatekeleza Programu ya Vipaji vya Kiafrika kwa kuwafunza maofisa 30,000 wa Afrika katika sekta mbalimbali, kutoa udhamini wa masomo kwa maofisa wa Serikali 18,000 na kujenga vituo vya utamaduni na vyuo vya ufundi katika nchi mbalimbali za Afrika,” alisema Rais Hu.

Alisema kuwa China itapeleka Afrika wataalamu 1,500 wa afya katika nchi za Afrika, huku pia ikizisaidia nchi za Afrika katika miundombinu ya hali ya hewa na uhifadhi wa misitu.

Kwa mujibu wa Rais Hu, eneo jingine ambalo China itatilia mkazo ni ushirikiano kati ya nchi za Afrika na katika hili, itasaidia kuboresha miundombinu ili kusaidia watu wa vijijini

pamoja na kusaidia viwanda na udhibiti wa forodha kwa bidhaa zinazoingia Afrika.

“Kutakuwa pia na ushirikiano wa pamoja kati ya watu wa China na Afrika ili wanufaike na ushirikiano huu. Tutaanzisha vituo vya habari kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na kujenga uhusiano katika tamaduni zetu.

“Pia kutakuwa na programu za pamoja za utafiti 100 zitakazohusisha wanazuoni,” alisema Rais Hun na kushangiliwa na viongozi mbalimbali wakiwamo marais sita wa Afrika wakiongozwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Yaya Boyi wa Benin.

Alilitaja eneo jingine ambalo China italitilia mkazo ni kuimarisha ushirikiano na AU na nchi za Afrika katika suala la amani na usalama na kutoa msaada wa kifedha kwa vikosi vya kulinda amani Afrika na kuboresha Jeshi la Akiba la Afrika na kuwafunza maofisa wengi zaidi kuhusu amani na usalama.

Alisema China inaamini maeneo ambayo yanapaswa kutiliwa mkazo ni miundombinu, kilimo, fedha, utengenezaji bidhaa, teknolojia na biashara.

Afrika ndio eneo ambalo China ina uwekezaji mkubwa kwa sasa duniani, ambapo mwaka jana pekee, nchi za Afrika na China zilifanya biashara ya Dola za Marekani bilioni 163.3.

Aidha, uwekezaji wa moja kwa moja wa China kwa Afrika mwaka jana ulikuwa Dola za Marekani bilioni 15 katika nchi 50 za bara hili ambalo kwa pamoja na China, lina idadi ya watu ambayo ni theluthi moja ya idadi ya watu wote duniani kwa sasa.

Ushirikiano kati ya China na Afrika ulianzishwa rasmi mwaka 2000, na umekuwa ukiimarika na Afrika imekuwa ikijivunia kupata misaada mingi kutoka kwa mshirika wake huyo mpya wa maendeleo siku za karibuni.

Akizungumza katika ufunguzi huo, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ambayo nchi yake imepokea kiti cha uenyekiti wenza kutoka kwa Misri, alisema ushirikiano wao huo na China ni tofauti na ule wa nchi za Ulaya.

Hata hivyo, alisema pamoja na ushirikiano huo kuzaa matunda mengi na Afrika kufaidika, bado bara hili linakabiliwa na changamoto za miundombinu, teknolojia ya mawasiliano na nishati.

About these ads
 

Tags: , , , , , , , , ,

Jacob Zuma ‘to buy presidential jet despite South Africa’s poverty’‏

Jacob Zuma is in talks to buy a £165m presidential jet, it was reported, just   days after the South African president warned of growing frustration among   the country’s poorest over the government’s failure to improve their

South Africa's President Jacob Zuma: Jacob Zuma 'to buy presidential jet despite South Africa's poverty'

South Africa’s President Jacob Zuma

The customised Boeing 777 plane seats 300 people and would cost $150m to buy   and an additional $80m to be adapted to Mr Zuma’s specifications.

The Department of Defence, which oversees VIP transport, is reportedly   considering spending an additional $28m on a second private plane for   Kgalema Motlanthe, the deputy president.
Defence Secretary Sam Makhudu Guluybe was on Friday visiting the United States   to finalise the sale with Boeing, according to the Johannesburg Star   newspaper.
The newspaper said it had documents which showed the defence department had   negotiated a significant reduction on the jet’s original price of $305m   after a deal between Boeing and another buyer fell through.
The current presidential jet, known as Inkwazi which means “fish eagle”   in Mr Zuma’s mother tongue Zulu, was out of service for much of last year   for upgrades and maintenance.
The government is also facing a multi-million dollar legal bill after   cancelling a five-year lease for another plane from Nigeria. Defence officials have refused to comment on the reported deal, or explain why   new planes might be needed for the president and his deputy.
 Opposition politicians have lambasted the apparent move, revealed at a time   when the ANC is holding a five-year policy conference to discuss how to   alleviate poverty in South Africa, which sees about 40 per cent of the   population live on less than $49 (£31) a month.
David Maynier, the defence and military veterans spokesman for the opposition   Democratic Alliance party, questioned why Mr Zuma could not use the state   airline, into which the Treasury has also pumped billions of rands. “If British Prime Minister David Cameron can use British Airways to fly,   then Zuma can fly South African Airways,” he said.
“It is simply wrong to spend R2 billion on a presidential jet when so   many people in the country are poor. I believe a presidential jet should   only be used in exceptional circumstances.”

 

 
Leave a comment

Posted by on July 2, 2012 in Business News

 

Tags: , , , , , , , , , , , , , ,

G20 Summit News: SA commits USD2bn of foreign reserves to IMF‏

SA’s National Treasury says the $2bn it has committed to the International  Monetary Fund’s (IMF’s) more than $430bn firewall fund will be in the  form of its foreign reserves‚ and will be drawn down only if needed and  only after other resources have been depleted.

South African leaders attending the Group of 20 summit in Los Cabos‚ Mexico‚ announced the commitment on Monday.
The Treasury said the funds would be invested and earn interest‚ and would be drawn down only in emergency circumstances.
“If the funds are drawn down‚ they will ultimately be repaid and they will  continue to earn interest over this period‚” Treasury spokesman Jabulani Sikhakhane said.
The multibillion-dollar fund has been set aside  in efforts to increase IMF resources in order for the institution to  better assist countries distressed by the current global economic  conditions‚ made worse by the deterioration of economies in the  eurozone.
The resources will be channelled through temporary  bilateral loans and note purchase agreements to the IMF’s general  resources account.
For More News on G20 Summit follow my tweets : https://twitter.com/#!/MissNiyu
 
1 Comment

Posted by on June 19, 2012 in International News

 

Tags: , , , , ,

South Africa Has Highest ATM Fees: Survey

ATM

Survey by management consulting firm Accenture found that a transaction in South Africa cost nearly US2 (R16.75), Business Day reported.

The country also had the highest withdrawal fees of US4. 59 (R38.44).

In contrast 18 countries, which included the United States and the United Kingdom, charged nothing for ATM withdrawals and 14 charged nothing for branch withdrawals.

Vinolan Pillay, an executive for banking at Accenture said despite the high charges the survey found that 38 percent of South African consumers were satisfied with their main bank, above the global average of 36 percent.

South Africa came in eighth-best for credit cards and among the 10 countries offering free debit-card transactions at some banks.

Pillay said this was an example of the country’s banking industry progressing to fiercer competition and increased transparency.

“Recent banking price wars in South Africa resulted from calls for transparency around pricing and heated competition in the banking industry,” he was quoted as saying.

 
 

Tags: , , , ,

 
Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 3,835 other followers

%d bloggers like this: