RSS

Tag Archives: Boieng 777

ATCL yarejesha safari za Comoro‏

KAMPUNI ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imerejesha safari ya kutoka Dar es Salaam kwenda Hahaya katika visiwa vya Comoro, ikitekeleza mpango wa miaka mitano wa kuongeza idadi ya ndege na safari zake.

Akizungumza baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Prince Said Ibrahim mjini Hahaya jana, Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa ATCL, Mwanamvua Ngocho alisema, kampuni hiyo itakuwa ikifanya safari zake mara nne kwa wiki katika njia hiyo. ATCL ilifuta safari zake za Dar es Salaam – Hahaya mwaka 2008.

“Tumezindua upya safari yetu ya Dar es Salaam – Hahaya (Comoro) ikiwa ni safari yetu ya kwanza ya kimataifa tangu tuliporejesha utoaji wa huduma miezi miwili iliyopita. Tumeamua kuizindua upya safari hii ili kuitumia vilivyo ndege yetu ya Boeing 700-500 ambayo ilikuwa haina kazi baada ya kumaliza safari ya Dar- es Salaam-Mwanza-Kilimanjaro asubuhi,” alisema Ngocho na kuongeza:

“Tumeamua kuchagua njia hii kutokana na umuhimu wake kiuchumi nchini. Tuna imani kuwa jitihada zetu zitasaidia kuongeza mahusiano mazuri baina ya nchi hizi mbili na vilevile kutoa nafasi kwa abiria kutoka Comoro kusafiri sehemu mbalimbali kupitia Dar es Salaam.”

Alisema, kampuni hiyo bado ina mpango wa kujikita katika kuongeza safari za ndani na nje ya nchi, akizitaja safari hizo kuwa ni Dar es Salaam – Lusaka (Zambia), Dar es Salaam – Johannesburg (Afrika Kusini) na kusisitiza mipango hiyo itakamilika endapo watapata ndege nyingine katika muda mfupi ujao.

“Tayari tuko katika mazungumzo ya kupata ndege nyingine ambayo itatusaidia kujikita katika safari za kimataifa. Katika mpango huo, tutashirikiana kibiashara na baadhi ya kampuni za ndege ili kuweza kulifanikisha hili,” alisema Kaimu Mkurugenzi huyo.

“Bidhaa nyingi zitumikazo nchini Comoro zinatokea Tanzania. Wananchi wanatakiwa kuitumia fursa hii ipasavyo kutokana na ukweli kwamba ATCL itatoa huduma ya usafirishaji kwa bei nafuu,” alisema.

About these ads
 
Leave a comment

Posted by on July 11, 2012 in Tanzania News

 

Tags: , , , , , ,

Jacob Zuma ‘to buy presidential jet despite South Africa’s poverty’‏

Jacob Zuma is in talks to buy a £165m presidential jet, it was reported, just   days after the South African president warned of growing frustration among   the country’s poorest over the government’s failure to improve their

South Africa's President Jacob Zuma: Jacob Zuma 'to buy presidential jet despite South Africa's poverty'

South Africa’s President Jacob Zuma

The customised Boeing 777 plane seats 300 people and would cost $150m to buy   and an additional $80m to be adapted to Mr Zuma’s specifications.

The Department of Defence, which oversees VIP transport, is reportedly   considering spending an additional $28m on a second private plane for   Kgalema Motlanthe, the deputy president.
Defence Secretary Sam Makhudu Guluybe was on Friday visiting the United States   to finalise the sale with Boeing, according to the Johannesburg Star   newspaper.
The newspaper said it had documents which showed the defence department had   negotiated a significant reduction on the jet’s original price of $305m   after a deal between Boeing and another buyer fell through.
The current presidential jet, known as Inkwazi which means “fish eagle”   in Mr Zuma’s mother tongue Zulu, was out of service for much of last year   for upgrades and maintenance.
The government is also facing a multi-million dollar legal bill after   cancelling a five-year lease for another plane from Nigeria. Defence officials have refused to comment on the reported deal, or explain why   new planes might be needed for the president and his deputy.
 Opposition politicians have lambasted the apparent move, revealed at a time   when the ANC is holding a five-year policy conference to discuss how to   alleviate poverty in South Africa, which sees about 40 per cent of the   population live on less than $49 (£31) a month.
David Maynier, the defence and military veterans spokesman for the opposition   Democratic Alliance party, questioned why Mr Zuma could not use the state   airline, into which the Treasury has also pumped billions of rands. “If British Prime Minister David Cameron can use British Airways to fly,   then Zuma can fly South African Airways,” he said.
“It is simply wrong to spend R2 billion on a presidential jet when so   many people in the country are poor. I believe a presidential jet should   only be used in exceptional circumstances.”

 

 
Leave a comment

Posted by on July 2, 2012 in Business News

 

Tags: , , , , , , , , , , , , , ,

 
Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 3,696 other followers

%d bloggers like this: