RSS

Job Opportunities: Updated 28th Aug 2012.

VACANCY:

If you qualify and interested apply.

2 -5 years Experience needed.

Credit Manager – Kenya Commmercial Bank

Credit Analyst – Kenya Commercial Bank

Head of Corporate Sales – Telecom

Financial controller – AAR insurance DSM

Interested candidates can send cv to  abdillahi.hassan@workforceconsult.com

MF

About these ads
 

2 Responses to Job Opportunities: Updated 28th Aug 2012.

  1. frank joseph

    July 22, 2012 at 10:55 am

    Serikali ya TANZANIA ina utawara mbovu!!! sababu Mh; Rais Benjamini w. Mkapa alipoingia mkataba kuhusu uchimbaji wa gesi ya MNAZIBAY iliopo mkoani MTWARA alipitisha maswara yafuatayo—
    1) Gesi itachimbwa na kubaki Mtwara na endepo mikoa mongine ikiitaji huduma ya umeme itabidi wapitishiwe kwenye Grid ya TAIFA.
    2)Viwanda na vitabidi vije kujengwa kusini kwenyewe pia mitungi ya gesi itazalishwa kusini pia je yanatekelezwa haya? na kama hayastekelezwi sababu ni nini? mnataka kutunyan’ganya gesi yetu kwa lepi? hampendi maendereo yetu watu kusini.

     
  2. MZALENDO

    July 25, 2012 at 12:30 pm

    ndugu yangu usiende mbali sana,ni kweli hamkutendewa haki kama makubaliano hayo yaliafikiwa,lakini Tanzania ni nchi moja,hivi kila mkoa ukiwa na rasilimali fulani,ikifanya hivyo tutafika? suala la zanzibar la uchimbaji wa mfuta mpaka leo latutoa jasho,kuna mikoa Tanzania ina madini mbalimbali,rasilimali mbalimbali nayo isemeje? tuangalie vizuri mwishowe tusije tukafikia kila mkoa ujitegemee kwa rasilimali zake,tutafikaaa? tusije tukafikia kuleee mbali zaidi.

     

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

 
Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 3,685 other followers

%d bloggers like this: