RSS

Daily Archives: July 2, 2012

Twiga Bancorp kufanya kazi Masaa 24

UONGOZI wa Benki ya Twiga Bancorp umesema tawi lake la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini litaendelea kutoa huduma kwa saa 24 kila siku ili kukidhi mahitaji ya wateja.


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Twiga Bancorp, Hussein Mbululo amesema hayo hivi karibuni wakati akizungumzia tuzo ambayo benki hiyo ilipokea kutoka Kampuni ya Kimataifa ya Business Initiative Directions ya Geneva, Uswisi.

Alisema benki hiyo yenye matawi Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Dodoma, inaendelea kujitanua kwa kufungua tawi moja mkoani kila mwaka.

Alisema hivi karibuni itafungua tawi mkoani Dodoma. “Tawi la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam, linaendelea kuvunja rekodi ya kufunguliwa kwa saa 24 kwa siku zote saba za wiki,” alisema Mbululo.

Alisema mtandao wa huduma kwa benki hiyo umeimarika kutokana na kadi zake za ATM kuunganishwa na mtandao wa Umoja unaoziunganisha benki zaidi ya 24, zikiwa na mtandao wa zaidi ya mashine 160 nchini. A

kizungumzia tuzo ya Century International Gold Quality waliyoipata, alisema huduma ya ‘Money gram’ wanayotoa ndiyo imewezesha kuipata.

Alisema huduma hiyo inawawezesha Watanzania na watu wa mataifa mengine kutuma fedha nje kwa dakika chache. “Walieleza kuridhishwa na huduma zetu kufikia kiwango cha ubora wa juu lakini pia walieleza kuridhishwa na ubunifu tunaoendelea kuufanya katika kuboresha huduma za kibenki nchini ukilinganisha na benki nyingine,” alisema Mbululo.

Kwa mujibu wa Mbululo, kupitia huduma za Money gram mtu anaweza kutuma fedha kwa mtu aliye nje ya nchi na kuzipata ndani ya dakika tano.

About these ads
 
Leave a comment

Posted by on July 2, 2012 in Tanzania News

 

Tags: , , , , , ,

Utajiri wa gesi Tanzania sawa na bajeti ya Miaka 40

TANZANIA ina gesi yenye thamani ya Sh trilioni 626.71, fedha ambazo zinaweza kutosheleza bajeti ya nchi kwa zaidi ya miaka 40 ijayo.


Fedha hizo zinatosha kwa bajeti kuu kwa miaka hiyo iwapo itakuwa Sh trilioni 15 kama ilivyo bajeti ya mwaka huu wa fedha unaoanza Julai mwaka huu.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akijibu hoja mbalimbali za wabunge kuhusiana na Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu , alisema Tanzania ina gesi za ujazo wa futi trilioni 26.99 hadi sasa ambayo ni sawa na mapipa ya mafuta bilioni 4.86.

“Mapipa hayo nikipiga hesabu kwa pipa moja dola za Kimarekani 86 ni sawa na thamani ya gesi yetu dola za kimarekani bilioni 400.81 ambazo ni sawa na Sh trilioni 626.71 ikiwa dola moja ya Kimarekani Sh 1,500 ilivyo sasa,” alisema Waziri huyo.

Alisema hadi sasa zimeshatumika dola za Kimarekani milioni 840 kwa ajili ya utafiti, majaribio na malipo ya mshauri kuhusiana na uchimbaji wa gesi.

Muhongo alisema kabla ya mwisho wa mwaka huu Serikali italeta bungeni muswada wa sheria ya gesi na pia sera ya gesi kwa sasa inatengenezwa ambapo alisisitiza kuwa wataenda katika mikoa ya Lindi na Mtwara kukusanya maoni ya wananchi.

Akizungumzia kuhusu mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira, alisema Serikali imetenga Sh bilioni 40 kwa ajili ya kuuchukua mgodi huo moja kwa moja.

Hadi Novemba mwaka jana mkopo wa mgodi huo ulikuwa Sh bilioni 32.24. Mgodi huo una makaa ya mawe tani milioni 50.94.

 

Tags: , , , , , , ,

Jacob Zuma ‘to buy presidential jet despite South Africa’s poverty’‏

Jacob Zuma is in talks to buy a £165m presidential jet, it was reported, just   days after the South African president warned of growing frustration among   the country’s poorest over the government’s failure to improve their

South Africa's President Jacob Zuma: Jacob Zuma 'to buy presidential jet despite South Africa's poverty'

South Africa’s President Jacob Zuma

The customised Boeing 777 plane seats 300 people and would cost $150m to buy   and an additional $80m to be adapted to Mr Zuma’s specifications.

The Department of Defence, which oversees VIP transport, is reportedly   considering spending an additional $28m on a second private plane for   Kgalema Motlanthe, the deputy president.
Defence Secretary Sam Makhudu Guluybe was on Friday visiting the United States   to finalise the sale with Boeing, according to the Johannesburg Star   newspaper.
The newspaper said it had documents which showed the defence department had   negotiated a significant reduction on the jet’s original price of $305m   after a deal between Boeing and another buyer fell through.
The current presidential jet, known as Inkwazi which means “fish eagle”   in Mr Zuma’s mother tongue Zulu, was out of service for much of last year   for upgrades and maintenance.
The government is also facing a multi-million dollar legal bill after   cancelling a five-year lease for another plane from Nigeria. Defence officials have refused to comment on the reported deal, or explain why   new planes might be needed for the president and his deputy.
 Opposition politicians have lambasted the apparent move, revealed at a time   when the ANC is holding a five-year policy conference to discuss how to   alleviate poverty in South Africa, which sees about 40 per cent of the   population live on less than $49 (£31) a month.
David Maynier, the defence and military veterans spokesman for the opposition   Democratic Alliance party, questioned why Mr Zuma could not use the state   airline, into which the Treasury has also pumped billions of rands. “If British Prime Minister David Cameron can use British Airways to fly,   then Zuma can fly South African Airways,” he said.
“It is simply wrong to spend R2 billion on a presidential jet when so   many people in the country are poor. I believe a presidential jet should   only be used in exceptional circumstances.”

 

 
Leave a comment

Posted by on July 2, 2012 in Business News

 

Tags: , , , , , , , , , , , , , ,

Barclays Chairman Marcus Agius Resigns

The interest rate rigging scandal has claimed its first scalp among the senior  management of Barclays with the bank’s Chairman set to announce his resignation today.

Marcus Agius at a Barclays branch

The scandal has claimed its first scalp among the senior management of Barclays, as the bank confirmed on Sunday that Marcus Agius, its chairman, was set to resign

 

Marcus Agius is expected to say he is “truly sorry” for the scandal, which has   dealt a “devastating blow” to the bank. Meanwhile, Lord Turner of   Ecchinswell, the head of the Financial Services Authority, said “more heads   will roll” at badly behaving banks.
Yesterday it emerged that Barclays stepped up its efforts to rig interest   rates after Bob Diamond, its chief executive, personally spoke to the deputy   governor of the Bank of England. Bob Diamond had a conversation with Paul   Tucker about how much Barclays was claiming it had to pay to borrow money   during the financial crisis in 2008.
After Mr Diamond spoke to Mr Tucker, Barclays staff came to believe the Bank   of England wanted them to falsify this data — which was used to calculate   Libor, the interest rate that banks pay to each other.
The bank’s traders then escalated their secret attempts to manipulate the   markets and make it appear that the bank was paying less to borrow money   than was actually the case, documents show. Sources at both banks said this   was the result of a “misunderstanding” and insisted that Mr Tucker had not   sanctioned Barclays’ actions.
At the time, the Bank of England was keen to see a lower Libor rate, as that   would have been a positive sign in the depths of the credit crunch.
The disclosure increases the pressure on Mr Diamond, who has now been put at   the heart of discussions about the fixing of Libor. When he gives evidence to MPs this week the bank chief will also have to   explain why his employees were left with the understanding they had the Bank   of England’s blessing.
As the board of Barclays called an emergency meeting last night, there were   calls for a criminal inquiry into the bank by Vince Cable, the Business   Secretary, and Lord Blair of Boughton, the former Metropolitan Police   commissioner.
Mr Diamond is also facing calls to step down over his failure to spot the   scandal, which may have caused banks to charge mortgage holders, credit card   users and businesses too much for billions of pounds in loans.
Barclays was last week fined £290 million for its role in the affair. Other   high street banks are expected to face heavy penalties for similar   wrongdoing
 
Leave a comment

Posted by on July 2, 2012 in International News

 

Tags: , , , , , , ,

 
Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 3,834 other followers

%d bloggers like this: